Yaliyojiri leo tarehe2.3.2026
TAFAKURI:
Jamhuri imelemewa na kesi feki ya Lissu! Wamevuliwa nguo maana ni karibia mwaka sasa wamemkamata Lissu na kumfungulia mashtaka ya uhaini ila hadi leo hawana ushahidi au mashahidi wa maana
Meanwhile Bi Kizimkazi anachukiwa ndani na nje ya nchi na hajakubalika
Nani alikuja na njama hii ya kipumbavu? Iko hivi:
ππ½awali walipanga wamteke wamfiche - ikashindikana!
ππ½ wakaamua wamfungulie haraka kesi ya uhaini alafu wamhukumu haraka wamfunge! Hii ndo sababu walitaka iwe kesi inaemdeshwa onlind - ikashindikana!
ππ½Walitaka kesi iendeshwe gizani mahakamani bila wananchi kuhudhuria na bila taarifa kutoka - waliteka, walitesa na kuumiza wanachadema na wanaharakati waliohudhuria hadi wageni! Ikashindikana!
ππ½ walipogundua kesi lazima iendeshwe na taarifa itatoka wakahaha kutunga kesi! Yaani wanailazimisha kesi ipate ushahidi wakaja na mashahidi wa siri - ikashindikama
ππ½ wakasimamisha kesi wakijua baada ya uchaguzi feki watamalizana na Lissu - ikashindikana!
ππ½ sasa wamebaki kutapatapa na hawataki Lissu afikishwe mahakamani maana kila anapoonekana analeta faraja kwa Taifa na ana raha kuliko mtesi wake π - hii pia ni kushindwa!
Ni hivi @SuluhuSamia you have only one option ππ½ #FreeTunduLissu uncond
itionally!

Maoni