NAMNA YA KUTIMIZA MALENGO
kanuni ni tatu tu kuhakikisha unafikia malengo yako kwa muda sahihi.
1.MUDA
hakikisha muda wako mwingi unautumia kufanya kile ulichokusudia
2.NGUVU
nguvu kubwa lazima uielekeze kwenye makusudio yako lengo kufikia ndoto zako kwa wakati
3.FEDHA
pia fedha lazima uielekeze kwenye mradi wako kwani itasaidia kukurahisishia baadhi ya mambo kwenda sawa,hapo kila mtu anatakiwa kujua kwamba pesa hutumika kuzalisha pesa nyigine(faida).ni sawa na mtaji..
MUHIMU......
mtangulize mungu kwa imani yako kwani yeye ni mtoaji sisi ni watafutaji
Maoni